KOCHA, Ruben Amorim amekiri kuwa ni mwenye bahati kuendelea kuwapo kwenye benchi la ufundi la Manchester United kutokana na ...
MAMBO yamezidi kunoga. Matumaini ya Arsenal yalikuwa ni kuondoka kwenye mechi ya ugenini dhidi ya Sunderland kwa kuzoa pointi ...
REAL Madrid inaripotiwa kuwa tayari kutumia hadi Euro 250 milioni ili kumsajili kiungo wa kati wa Arsenal na timu ya taifa ya ...
SIMBA imeendelea na kasi yake ya ushindi wa asilimia mia moja katika Ligi Kuu Bara baada ya jana Jumamosi Novemba 8, 2025 ...
PAMBA Jiji imeonja utamu wa kuongoza msimamo wa Ligi Kuu kwa saa mbili na ushei kabla ya kushushwa na Simba, huku kocha Francis Baraza akiwapa ujanja mastaa wa timu hiyo akitaja mambo ...
KOCHA wa Singida Black Stars, Miguel Gamondi ameigeukia timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ inayojiandaa na mechi ya kirafiki dhidi ya Kuwait huko Cairo Misri, akitoka kulazimishwa sare ya 1-1 na Pamba Jiji, ...
BAADA ya kukosa uhondo wa Ligi Kuu Bara, huenda mashabiki wa soka jijini Mbeya wakaanza kushuhudia timu zao Mbeya City, ...
BEKI wa Kitanzania, Jackson Kasanzu anayeitumikia Tormenta FC ya Ligi Daraja la Kwanza Marekani ameingia kwenye kitabu cha historia baada ya kuchaguliwa kuwania tuzo ya mchezaji bora kijana.
DUNIA ya sasa kumekuwa na mitazamo mingi kuhusu mazoezi, lakini wengi hasa Wanawake wamechukulia mavazi ya kufanyia mazoezi ...
MSHAMBULIAJI wa Kitanzania, Jaruph Juma anayekipiga Ain Diab inayoshiriki Ligi Kuu ya Soka la Ufukweni nchini Morocco amepewa ...
KOCHA Mkuu wa Bigman, Fredy Felix 'Minziro', amesema sababu ya kuanza vibaya msimu huu kwa kikosi hicho ni kutokana na maandalizi mabovu ya mwanzoni mwa msimu (pre-season), ingawa viwango ...
WINGA wa Whitecaps FC 2 inayoshiriki Ligi ya Canada maarufu MLS Next Pro, Cyprian Kachwele amesema amekutana na mabeki wengi kwenye ligi hiyo, lakini wa timu mbili wamempa ugumu zaidi.