Caracas. Ikiwa ni siku moja imepita tangu vikosi vya Marekani kumkamata Rais Nicolas Maduro, Serikali ya Venezuela imetoa ujumbe kwa jumuiya ya kimataifa na hasa kwa Marekani, ikisisitiza dhamira yake ...
Dar es Salaam. Ikiwa imepita miezi sita tangu alipofariki dunia, Rais mstaafu wa Zambia, Edgar Lungu, bado mazishi yake yametawaliwa na sintofahamu kutokana na mvutano kati ya familia na Serikali ya ...
Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imeonya uwepo wa mvua na radi kwa kipindi cha Januari 1 hadi 10, 2026, huku vipindi vya mvua vikitarajiwa katika baadhi ya maeneo ya Tanzania.
Dar es Salaam. Shirika la Reli Tanzania (TRC) limetangaza kusitisha kwa muda safari za treni ya reli ya kisasa (SGR) kati ya Morogoro na Dodoma kuanzia leo Desemba 31, 2025, kufuatia uharibifu wa ...
Dar es Salaam. Ofisi ya Waziri Mkuu, Ajira, Kazi na Mahusiano kwa kushirikiana na Kampuni ya Target Tours and Labour Surply Company Limited, imetangaza fursa za ajira kwa madereva wa pikipiki katika ...
Dodoma. Watu wanne wamepoteza maisha na wengine 17 kujeruhiwa baada ya kuangukiwa na ukuta wa Kanisa. Tukio hilo limetokea jioni ya Jumatano Desemba 23, 2025 katika Kijiji cha Wiliko Kata ya Mlowa ...
Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features. Reclaim your full access. Click below to renew.
Meya wa Jiji la Zanzibar, Kamal Abdulsatar Haji akizungumza na madiwani leo Desemba 23, 2025 katika ukumbi wa Mikutano wa Baraza la Jiji Zanzibar, Michenzani Mall, Mjini Unguja Unguja. Meya wa Jiji la ...
Dodoma. Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma limekana taarifa zinazosambazwa kupitia mitandao ya kijamii zikidai Katibu wa Chadema Kanda ya Kati Ashura Masoud amekamatwa na vyombo vya dola, likibainisha ...
Refa mstaafu wa kimataifa wa Tanzania, Victor Mwandike amefariki dunia leo jijini Dar es Salaam. Taarifa iliyotolewa na Chama cha Waamuzi wa Mpira wa Miguu Tanzania (FRAT) imesema kuwa Mwandike ...
Watu watano wamefariki dunia, wakiwemo askari wawili wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia Mkoa wa Mbeya, na wengine tisa wamejeruhiwa, wakiwemo wanafunzi, katika ajali ya barabarani iliyotokea saa 12:15 jana ...
Dar es Salaam. Rais na Amiri Jeshi Mkuu, Samia Suluhu Hassan, amelitaka Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ), kutokubali kuchafuliwa wala kumuacha au kumlinda mtu yeyote mwenye cheo kikubwa au ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results